Ta Ha 20:118 ان لك الا تجوع فيها ولا تعرى ١١٨
Ukurasa 320 · Juzuu 16
إِنَّ
لَكَ
أَلَّا
تَجُوعَ
فِيهَا
وَلَا
تَعۡرَىٰ
١١٨
Hakika humo hutakuwa na njaa wala hutakuwa uchi.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Hakika yako wewe, ewe Ādam, una neema ya kula kwenye Pepo hii na hutashikwa na njaa, na pia kuvaa na hutakaa tupu.